![]() |
| Annasima Nathaniel akiwa katika pozi la mnuso. |
Saa nane usiku Annasima anakuwa na mchungaji ambaye anatoa huduma ya neno pamoja na kufanya maombi kwa mtu yoyote yule atakayepiga simu moja kwa moja studioni kwahitaji la maombi, kumbuka hicho ni kipindi cha Njoo Tusemezane.
Pia jiunge naye Annasima kila siku za Ijumaa kuanzia saa 6 kamili mchana hadi saa 11 jioni kupitia vipindi mbalimbali kama salamu, mahojiano na waimbaji, wachungaji, wajasiriamali, kusikiliza nyimbo mbalimbali, habari bila kusahau neno la Mungu. Usisahau kujiunga naye kila siku za Ijumaa mchana hadi jioni ili upate kubarikiwa kupitia yale anayokuandalia wewe msikilizaji wake.
Sikiliza Wapo Radio Fm 98.0 Nuru ya Jamii uwapo jijini Dar es salaam mikoa ya Pwani, Morogoro na sehemu nyingine, lakini pia waweza kusikiliza kupitia ndani ya GK popote ulipo duniani.
